// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
SINGIDA BLACK STARS YAICHAPA JKT TANZANIA 1-0 MBWENI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINESINGIDA BLACK STARS YAICHAPA JKT TANZANIA 1-0 MBWENI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
SINGIDA BLACK STARS YAICHAPA JKT TANZANIA 1-0 MBWENI
BAO pekee la mshambuliaji Mghana, Jonathan Sowah dakika ya 51 limeipa Singida Black Stars ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, JKT Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Meja Jenerali Charles Isamuhyo, Mbweni, Dar es Salaam. Kwa ushindi huo, Singida Black Stars inafikisha pointi 37 katika mchezo wa 19, ingawa inabaki nafasi ya nne ikizidiwa pointi mbili na Azam FC ambayo pia ina mechi moja mkononi. Kwa upande wao JKT Tanzania baada ya kichapo cha leo wanabaki na pointi zao 20 za mechi 19 pia nafasi ya 10.
Rivers: PDP govs tackle Tinubu over emergency rule
-
From Ndubuisi Orji, Abuja The Peoples Democratic Party ( PDP) Governors
Forum, has described the declaration of emergency rule by President Bola
Tinubu i...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment