// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); GIBRIL SILLAH APIGA MBILI AZAM FC YAICHAPA KMC 2-0 CHAMAZI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE GIBRIL SILLAH APIGA MBILI AZAM FC YAICHAPA KMC 2-0 CHAMAZI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Thursday, February 06, 2025

    GIBRIL SILLAH APIGA MBILI AZAM FC YAICHAPA KMC 2-0 CHAMAZI


    WENYEJI, Azam FC wameibuka na ushindi wa 2-0 dhidi ya KMC, mabao ya winga Mgambia, Gibril Sillah dakika ya 27 na 66 katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam.
    Ushindi huo unaifanya Azam FC ifikishe pointi 39, ingawa inabaki nafasi ya tatu nyuma ya Mabingwa watetezi, Yanga wenye pointi 45 na Simba 44 baada ya wote kucheza mechi 17, wakati KMC inabaki na pointi 19 za mechi 17 pia nafasi ya 10.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: GIBRIL SILLAH APIGA MBILI AZAM FC YAICHAPA KMC 2-0 CHAMAZI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top