Mshambuliaji Romelu Lukaku akiwa juu kuifungia kwa kichwa Manchester United bao la kwanza dakika ya27 baada ya krosi ya Alexis Sanchez kabla ya kumtungua tena kipa wa Burnley, Joe Hart dakika ya 44 katika ushindi wa 2-0 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Turf Moor. Katika mchezo huo, Paul Pogba alikosa penalti dakika ya 69 na Marcus Rashford akatolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 71 kufuatia kuingia kuchukua nafasi ya Sanchez dakika ya 61 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Lamar Odom arrested on suspicion of DUI in Vegas after reportedly driving
more than 100 mph
-
Odom was arrested and charged with DUI in 2013 and has been open about his
previous struggles with drug addiction.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment