Mshambuliaji Romelu Lukaku akiwa juu kuifungia kwa kichwa Manchester United bao la kwanza dakika ya27 baada ya krosi ya Alexis Sanchez kabla ya kumtungua tena kipa wa Burnley, Joe Hart dakika ya 44 katika ushindi wa 2-0 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Turf Moor. Katika mchezo huo, Paul Pogba alikosa penalti dakika ya 69 na Marcus Rashford akatolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 71 kufuatia kuingia kuchukua nafasi ya Sanchez dakika ya 61 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Exec on Caleb Williams: 'He's Built Different' Than Panthers' Bryce
Young
-
Like Bryce Young, the No. 1 pick of the 2023 draft, prospective top 2024
selection Caleb Williams is smaller than the average NFL quarterback. The
difference…
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment