JKT TANZANIA NA AZAM FC HAKUNA MBABE, SARE 0-0 MBWENI
WENYEJI, JKT Tanzania wamelazimishwa sare ya bila mabao na Azam FC katika mchezo wa kwanza wa msimu wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara kwa timu zote jioni ya leo Uwanja wa Meja Jenerali Mstaafu Isamuhyo, Mbweni Jijini Dar es Salaam.
0 comments:
Post a Comment