Mshambuliaji wa Juventus Cristiano Ronaldo akisikitika baada ya kuonyeshwa kadi nyekundu usiku wa Jumatano kufuatia kugombana na Jeison Murillo wa Juventus wakati wa mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Mestalla. Juventus imeshinda 2-0, mabao yote akifunga kiungo wa kimataifa wa Bosnia & Herzegovina, Miralem Pjanić na yote kwa penalti dakika za 45 na 51 na kilichomponza Ronaldo ni kwenda kumrudishia Murillo akiwa hana mpira baada ya kuchezewa rafu kwenye boksi na beki huyo Mcolombia. Hiyo ni kadi nyekundu ya 11 kwa Ronaldo kihistoria kwenye soka, lakini ya kwanza kwenye Ligi ya Mabingwa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Inside England's 11-day Ashes capitulation: How poor preparation, car crash
TV interviews and mixed messaging have led to humiliation Down Under
-
LAWRENCE BOOTH IN ADELAIDE: For all the optimism in advance, this tour was
always going to present a challenge like nothing England have faced under
McCullum.
36 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment