Kiungo Mfaransa, Paul Pogba akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Manchester United dakika za 35 na 44 kwa penalti katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji Young Boys usiku wa Jumatano Uwanja wa Suisse Wankdorf Bern mjini Bern, Uswisi katika mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa. Bao lingine alifunga Anthony Martial dakika ya 66 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
While his teammates went berserk in the changerooms, Pat Cummins shared a
special moment with his son after winning the Ashes - and his wife got in
on the act too
-
Heartwarming scenes erupted after Australia claimed a nervy victory against
England at the Adelaide Oval on Sunday.
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment