Gareth Bale akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Real Madrid dakika ya 58 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya AS Roma usiku wa Jumatano kwenye mchezo wa Kundi G Uwanja wa Santiago Bernabeu. Mabao mengine ya Real yamefungwa na Francisco Roman Alarcon Suarez 'Isco' dakika ya 45 na Mariano Diaz dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Australia win the Ashes after just 11 days of cricket as England's
fightback is too little, too late
-
England staged a brave fightback that gave them a glimpse of what would
have been a record victory - but it was too little, too late to keep the
fight for ...
36 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment