Mshambuliaji Sadio Mane akiruka juu kwa furaha kushangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Liverpool dakika ya 10 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Leicester City Uwanja wa King Power. Bao lingine la Liverpool limefungwa na Roberto Firmino dakika ya 45, wakati la Leicester limefungwa na Rachid Ghezzal dakika ya 63 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NHL Playoffs Bracket 2024: Dates, Matchups, Game Times and TV Schedule Info
-
The 2024 NHL postseason field is set with 16 teams vying for the right to
win the Stanley Cup. Standing at the front of the pack after the regular
season are…
6 minutes ago
0 comments:
Post a Comment