RATIBA ya Raundi ya Kwanza Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), michuano inayodhaminiwa na Benki ya CRDB imetoka na michuano hiyo inatarajiwa kuanza Desemba 18 hatua hiyo ya awali ikihusisha jumla ya timu 64 na mechi za ufunguzi zitakuwa kati ya vigogo Pan Africans ya Dar es Salaam na Bagamoyo Sugar Uwanja wa Mabatini, Mlandizi mkoani Pwani na Mapinduzi FC ya Mwanza dhidi ya Buhare FC ya Mara Uwanja wa Nyamagana, Mwanza.
The 20-year-old who stole the show on Scotland's World Cup return
-
Ben Gannon-Doak wasn't born when Scotland last played at the men's World
Cup. But the 20-year-old was at the heart of their long-awaited return and
their f...
57 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment