RATIBA ya Raundi ya Kwanza Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), michuano inayodhaminiwa na Benki ya CRDB imetoka na michuano hiyo inatarajiwa kuanza Desemba 18 hatua hiyo ya awali ikihusisha jumla ya timu 64 na mechi za ufunguzi zitakuwa kati ya vigogo Pan Africans ya Dar es Salaam na Bagamoyo Sugar Uwanja wa Mabatini, Mlandizi mkoani Pwani na Mapinduzi FC ya Mwanza dhidi ya Buhare FC ya Mara Uwanja wa Nyamagana, Mwanza.
🏆 Champions League returns: all you need to know about the last 16
-
The UEFA Champions League enters its most exciting phase. After a draw that
resulted in matchups worthy of an early final, the 16 best teams on the
contine...
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment