• HABARI MPYA

    Thursday, December 25, 2025

    EYONG AFUNGA BAO PEKEE CAMEROON YAICHAPA GABON 1-0


    BAO la dakika ya sita la mshambuliaji wa Levante ya Hispania, Karl Edouard Blaise Etta Eyong limeipa Cameroon ushindi wa 1–0 dhidi ya Gabon katika mchezo wa Kundi F Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 usiku wa kuamkia leo Uwanja wa Adrar mjini Agadir nchini Morocco inayoendelea michuano hiyo. 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: EYONG AFUNGA BAO PEKEE CAMEROON YAICHAPA GABON 1-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top