
WENYEJI, Kagera Sugar wamefikisha mechi nne bila ushindi katika Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara baada ya leo kuokota pointi ya kwanza kufuatia sare ya bila mabao na JKT Tanzania Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba.
Mechi tafu za mwanzo Kagera Sugar ilifungwa 1-0 na Singida Black Stars, 2-0 na Yanga na 1-0 na Tabora United, wakati JKT Tanzania nayo imetoa sare ya pili mfululizo leo katika mechi zake mbili hadi sasa kufuatia sare ya 0-0 na Azam katika mchezo wa kwanza.
Brazil's Braathen wins giant slalom gold at Winter Olympics in first for
South America
-
Brazil's Lucas Pinheiro Braathen won South America's first-ever Winter
Olympics medal on Saturday as his samba skiing propelled him to a stunning
giant sl...
52 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment