
WENYEJI, Kagera Sugar wamefikisha mechi nne bila ushindi katika Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara baada ya leo kuokota pointi ya kwanza kufuatia sare ya bila mabao na JKT Tanzania Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba.
Mechi tafu za mwanzo Kagera Sugar ilifungwa 1-0 na Singida Black Stars, 2-0 na Yanga na 1-0 na Tabora United, wakati JKT Tanzania nayo imetoa sare ya pili mfululizo leo katika mechi zake mbili hadi sasa kufuatia sare ya 0-0 na Azam katika mchezo wa kwanza.
'Lost' Trent Alexander-Arnold called out by Spanish media after 'incredibly
weak' error gifted Celta Vigo an equaliser amid difficult debut season at
Real Madrid
-
Aurelien Tchouameni had given Real Madrid a lift with his 11th minute
opener at the Estadio Abanca-Balaídos, but Celta soon mustered a response
with Alexan...
32 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment