
WENYEJI, Kagera Sugar wamefikisha mechi nne bila ushindi katika Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara baada ya leo kuokota pointi ya kwanza kufuatia sare ya bila mabao na JKT Tanzania Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba.
Mechi tafu za mwanzo Kagera Sugar ilifungwa 1-0 na Singida Black Stars, 2-0 na Yanga na 1-0 na Tabora United, wakati JKT Tanzania nayo imetoa sare ya pili mfululizo leo katika mechi zake mbili hadi sasa kufuatia sare ya 0-0 na Azam katika mchezo wa kwanza.
π AI predicts top scorer, flop, podium and 2026 champions; see
-
The 2026 World Cup is about to begin, and OneFootball turned to artificial
intelligence to find out its picks on key questions surrounding the
tournament....
8 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment