Wachezaji wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Duwa Said (kulia) na Hussein Masha na George Masatu (kushoto) wakiwa na wachezaji wa Liberia, Wiiliam Fahnbullah na George Weah Februari 22, Uwanja wa Taifa (sasa Uhuru) mjini Dar es Salaam kabla ya mchezo wa kufuzu Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika uliomalizika kwa sare ya 1-1. Masatu, Duwa, Masha na Fahnbullah wote wachezaji wa Simba SC.
The girl from Barry who grew up to be world class
-
Sophie Ingle is poised for another landmark in a stellar career as Wales go
to Albania in Women's World Cup qualifying.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment