• HABARI MPYA

    Sunday, April 12, 2026

    SINGIDA BLACK STARS YAICHAPA MBEYA CITY 5-1 NA KUTINGA ROBO FAINALI CRDB


    TIMU ya Singida Black Stars imefanikiwa kwenda Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), michuano inayodhaminiwa na Benki ya CRDB baada ya ushindi wa mabao 5-1 dhidi ya Mbeya City Uwanja wa Airtel Mwigulu mjini Singida.
    Mabao ya Singida Black Stars yamefungwa na Khalid Aucho, winga wa kulia Mgambia, Lamin Jarjou, beki wa kushoto Mghana Ibrahim Imoro mawili na mshambuliajii kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Malanga Horso Mwaku.


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SINGIDA BLACK STARS YAICHAPA MBEYA CITY 5-1 NA KUTINGA ROBO FAINALI CRDB Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top