• HABARI MPYA

    Wednesday, September 12, 2018

    LUKAKU AFUNGA MAWILI, HAZARD MOJA UBELGIJI YASHINDA 3-0

    Romelu Lukaku akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 31 na 81 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Iceland kwenye mchezo wa Kundi la Pili Ligi ya Mataifa ya UEFA usiku huu mjini Reykjavik baada ya Eden Hazard kuanza kufunga kwa penalti dakika ya 29 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LUKAKU AFUNGA MAWILI, HAZARD MOJA UBELGIJI YASHINDA 3-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top