Marco Asensio (kushoto) akifurahia na beki Sergio Ramos baada ya wote kufunga katia ushindi wa 6-0 dhidi ya Croatia iliyoongozwa na Mwanasoka Bora wa Ulaya, Luca Modric kwenye mchezo wa Ligi ya Mataifa ya Ulaya Uwanja wa Santiago Bernabeu mjini Madrid. Asensio alifunga dakika ya 33, Ramos dakika ya 57 na mabao mengine yamefungwa na Kalinic aliyejifunga dakika ya 35, Rodrigo dakika ya 49 na Isco dakika ya 70 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Hailey Van Lith Denies TCU Transfer Rumor, Says She's 'Very Close' to
Portal Decision
-
Hailey Van Lith might not be bound for TCU after all. The former LSU guard
told Doug Feinberg of The Associated Press she is "very close" to a
decision but…
45 minutes ago
0 comments:
Post a Comment