Mshambuliaji Pierre-Emerick akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Arsenal dakika za 32 na 56 katika ushindi wa 4-2 dhidi ya Vorskla Poltava kwenye mchezo wa Kundi E Europa League Uwanja wa Emirates mjini London. Mabao mengine ya Arsenal yamefungwa na Danny Welbeck dakika ya 48 na Mesut Özil dakika ya 74, wakati ya Vorskla yamefungwa na Volodymyr Chesnakov dakika ya 76 na Vyacheslav Sharpar dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jadon Sancho leads Borussia Dortmund's dressing room celebrations after
beating PSG to reach Champions League final as Man United outcast belts out
rendition of Adele hit
-
Sancho (pictured) played a pivotal role as his side ousted Kylian Mbappe
and Co in the second leg of their semi final against PSG on Tuesday, the
visitors ...
51 minutes ago
0 comments:
Post a Comment