• HABARI MPYA

    Monday, December 01, 2025

    MASHUJAA NA COASTAL UNION ZATOKA SULUHU KIGOMA


    WENYEJI, Mashujaa FC wamelazimishwa sare ya bila mabao na Coastal Union katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Lake Tanganyika mjini Kigoma.
    Kwa matokeo hayo, Mashujaa FC wanafikisha pointi 13 katika mchezo wa tisa, ingawa inabaki nafasi ya tatu, wakati Coastal Union inafikisha pointi tisa katika mchezo wa saba na kusogea nafasi ya nane. 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MASHUJAA NA COASTAL UNION ZATOKA SULUHU KIGOMA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top