• HABARI MPYA

    Thursday, September 20, 2018

    LUKAKU AKABIDHIWA TUZO YAKE YA MABAO 100 LIGI KUU ENGLAND

    Romelu Lukaku akiwa ameshika tuzo yake baada ya kukabidhiwa kufuatia kuingia kwenye orodha ya wachezaji 28 tu kuwahi kufikisha mabao 100 kwenye Ligi Kuu ya England. Lukaku alifunga bao lake la 100 mwishoni mwa msimu uliopita kwenye mechi na Swansea City na mabao hayo amefunga akiwa na klabu za  Manchester United, Chelsea, Everton na West Brom 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LUKAKU AKABIDHIWA TUZO YAKE YA MABAO 100 LIGI KUU ENGLAND Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top