Romelu Lukaku akiwa ameshika tuzo yake baada ya kukabidhiwa kufuatia kuingia kwenye orodha ya wachezaji 28 tu kuwahi kufikisha mabao 100 kwenye Ligi Kuu ya England. Lukaku alifunga bao lake la 100 mwishoni mwa msimu uliopita kwenye mechi na Swansea City na mabao hayo amefunga akiwa na klabu za Manchester United, Chelsea, Everton na West Brom PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ten Hag ready for second FA Cup semi-final
-
Erik looks forward to another Wembley outing for his United team as we
prepare to take on Coventry City this Sunday.
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment