RASMI ELLIE MPANZU KIBISAWALA NI MCHEZAJI WA SIMBA
KLABU ya Simba imemtambulisha winga wa Kimataifa wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Elie Mpanzu Kibisawala (22) kuwa mchezaji wake mpya kwa mkataba wa miaka miwili akitokea AS Vita ya kwao, Kinshasa.
0 comments:
Post a Comment