BAO la dakika za lala salama za Abdallah Semfuko limeipa Coastal Union ushindi wa 1-0 dhidi ya Kagera Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania jioni ya leo Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha.
Coastal Union inayofundishwa na Juma Mwambusi ingeondoka na ushindi mtamu zaidi kama si nyota wake Maabad Maulid kukosa mkwaju wa penalti dakika ya 76.
Kwa ushindi huo, Coastal Union imefikisha pointi 11 katika mchezo wa 10 na kupanda hadi nafasi ya nene kutoka ya 13, wakati Kagera Sugar inabaki na pointi zake tano za mechi tisa nafasi ya 14.
Richard Keys claims Match Of The Day will be scrapped NEXT: Former Sky
Sports star makes huge prediction as he reveals why BBC have pulled the
plug on Football Focus
-
The BBC announced on Thursday that Football Focus would end after 52 years
at the conclusion of the current season - a decision made amid accusations
the p...
44 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment