BAO la dakika za lala salama za Abdallah Semfuko limeipa Coastal Union ushindi wa 1-0 dhidi ya Kagera Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania jioni ya leo Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha.
Coastal Union inayofundishwa na Juma Mwambusi ingeondoka na ushindi mtamu zaidi kama si nyota wake Maabad Maulid kukosa mkwaju wa penalti dakika ya 76.
Kwa ushindi huo, Coastal Union imefikisha pointi 11 katika mchezo wa 10 na kupanda hadi nafasi ya nene kutoka ya 13, wakati Kagera Sugar inabaki na pointi zake tano za mechi tisa nafasi ya 14.
Ski legend Lindsey Vonn's leg is BROKEN after brave Olympic comeback ended
in horror crash and airlift to hospital
-
RIATH AL-SAMARRAI IN MILAN: Lindsey Vonn, who was sent tumbling down the
piste in Cortina just 13 seconds into her downhill run, was airlifted to
hospital ...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment