• HABARI MPYA

    Friday, July 03, 2026

    RONALDO AFUNGA URENO YAITOA URENO NA KUTINGA 16 BORA KOMBE LA DUNIA



    TIMU ya Ureno imefanikiwa kuingia Hatua ya 16 Bora Fainali za Kombe la Dunia baada ya ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Croatia Alfajiti ya leo Uwanja wa BMO Field Jijini Toronto nchini Canada.
    Mabao ya Ureno yamefumgwa na washambuliaji, Cristiano Ronaldo dos Santos Aveiro wa Al-Nassr ya Saudi Arabia kwa penalti dakika ya 68 na  Gonçalo Matias Ramos wa AC Milan dakika ya  90’+4, wakati bao pekee la Croatia limefungwa na winga wa PSV Eindhoven ya Uholanzi, Ivan Perisic dakika ya 53.
    Next
    This is the most recent post.
    Older Post
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RONALDO AFUNGA URENO YAITOA URENO NA KUTINGA 16 BORA KOMBE LA DUNIA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top