HISPANIA imeitupa nje Austria kwa kuichapa ambao 3-0 katika mchezo wa Hatua ya 32 Bora Fainali za Kombe la Dunia usiku huu Uwanja wa SoFi Jijini Inglewood, Kaskazini Magharibi mwa Los Angeles, California nchini Marekani.
Mabao ya Hispania yamefungwa na mshambuliaji wa Real Sociedad ya nyumbani, Mikel Oyarzabal Ugarte mawili dakika ya 36 na 89 na beki wa kulia wa club Tottenham Hotspur ya England, Pedro Antonio Porro Sauceda dakika ya 66.


.png)
0 comments:
Post a Comment