Isco (kulia) akipongezana na Marcelo baada ya kuifungia Real Madrid bao la kusawazisha dakika ya 63 akimalizia krosi ya Gareth Bale kufuatia kuingia akitokea benchi dakika ya 61 kuchukua nafasi ya Luca Modric katika sare ya 1-1 na wenyeji, Athletic Bilbao waliotangulia kwa bao la Muniain dakika ya 32 Uwanja wa San Mames Barria PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Joel Embiid stars with 23-point double-double as the 76ers silence halftime
boos to squeeze past Miami in NBA Play-In... Philadelphia secures 7th seed
and first-round clash vs Knicks
-
The reigning NBA MVP had 23 points and 15 rebounds to lead the 76ers to a
105-104 win. Additionally, Embiid made an all-important assist to Kelly
Oubre Jr....
5 minutes ago
0 comments:
Post a Comment