Mesut Ozil (katikati) akifurahia na wenzake baada ya kuifungia Arsenal bao la pili dakika ya 58 ikishinda 2-1 dhidi ya wenyeji, Newcastle United kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa St James' Park. Bao la kwanza la Arsenal lilifungwa na Granit Xhaka dakika ya 49, wakati la Newcastle lilifungwa na Ciaran Clark dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Referees chief Howard Webb will hold peace talks with Nottingham Forest
this week after furious statement blasting decisions and Stuart Attwell...
with VAR audio set to be played at the meeting
-
MATT HUGHES: Webb will speak to one of, Evangelos Marinakis or Sokratis
Kominakis, while depending on the team's training schedule Nuno Espirito
Santo may ...
49 minutes ago
0 comments:
Post a Comment