// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
JKT TANZANIA YAWAPIGA TABORA UNITED 2-1 PALE PALE MWINYI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEJKT TANZANIA YAWAPIGA TABORA UNITED 2-1 PALE PALE MWINYI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
JKT TANZANIA YAWAPIGA TABORA UNITED 2-1 PALE PALE MWINYI
TIMU ya JKT Tanzania imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya wenyeji, Tabora United katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mjini Tabora. Mabao ya JKT Tanzania yamefungwa na viungo Ally Hussein Msengi dakika ya 32 na Najim Magulu dakika ya 75, wakati la Tabora United limefungwa na winga Offen Francis Chikola dakika ya 64. Kwa ushindi huo, JKT Tanzania inafikisha pointi 30 na kurejea nafasi ya sita, ikizidiwa pointi saba na Tabora United wanaobaki nafasi ya tano baada ya wote kucheza mechi 23.
Senegal face Togo in crucial World Cup Qualifier
-
Senegal will face Togo in a crucial 2026 FIFA World Cup qualifying clash
at Stade Me Abdoulaye Wade, determined to avoid further setbacks in their
campa...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment