KUNDI LA MBEYA CITY NOMAAA MICHUANO YA MIPYA YA CECAFA...AFC LEOPARD, ACADEMIE TCHITE ZATINGA NUSU FAINALI
Wachezaji wa Academie Tchite ua Burundi wakishangilia baada ya kuitoa El Merreikh ya Sudan katika Robo Fainali ya michuano ya Nile Basin usiku wa jana mjini Khartoum kwa penalti 3-2 kufuatia sare ya 1-1 ndani ya dakika 90.
Mashabiki wa Merreikh wakiwa wenye majonzi baada ya timu yao kutolewa katika michuano hiyo ya Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (CECAFA), inayoshirikisha mabingwa wa Kombe la FA au washindi wa pili wa Ligi Kuu za nchi wanachama wa baraza hilo
Wachezaji wa AFC Leopards ya Kenya wakishangilia baada ya kuitoa Defence ya Ethiopia kwa mabao 3-2. Leopards na Tchite zote zilikuwa kundi B pamoja na Mbeya City, ambayo inacheza na Victory University ya Uganda katika Robo Fainali nyingine, huku Al Shandy ikimenyana na Malakia ya Sudan Kusini.
Item Reviewed: KUNDI LA MBEYA CITY NOMAAA MICHUANO YA MIPYA YA CECAFA...AFC LEOPARD, ACADEMIE TCHITE ZATINGA NUSU FAINALI
Rating: 5
Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
ALL IN mit Marcel Sabitzer
-
Sechs Torbeteiligungen in den vergangenen drei Partien: Marcel Sabitzer ist
aktuell in bestechender Form. Nun kehrt er mit dem BVB nach Leipzig und
damit a...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment