• HABARI MPYA

    Friday, May 30, 2014

    FIFA YAWATAKA HISPANIA KUBADILISHA JEZI KWA SABABU WALIZOTOA SASA ZINAFANANA NA ZA UHOLANZI

    HISPANI wametakiwa kubadilisha jezi zao Kombe la Dunia baada ya FIFA kuamua jezi zao za sasa zinafanana na za Uholanzi.
    Wasambazaji wa nguo za Hispania, Adidas wamesema jana kwamba FIFA wameagiza Hispania ichapishe jezi ya tatu- nyeupe - ambayo wataitumia katika mchezo wao wa kwanza na Brazil.

    Clash: Spain's new kit, modelled by Andres Iniesta, Xabi Alonso and Pedro (left) is too similar to Holland's kit, worn by Gregory van der Wiel (right)
    Clash: Spain's new kit, modelled by Andres Iniesta, Xabi Alonso and Pedro (left) is too similar to Holland's kit, worn by Gregory van der Wiel (right)
    Mgongngano: Jezi mpya za Hispania, znazoonyeshwa na Andres Iniesta, Xabi Alonso na Pedro (kushoto) zinafanana sana na za Uholanzi

    FIFA intaka kila timu iwe na aina mbili za jezi katika kila pea kwa ajili ya mashindano hayo - moja yenye range nyepesi na nyingine nzito. 
    Jezi za Hispania ni nyekundu kwa mechi za nyumbani na nyeusi kwa mechi za ugenini, wakati Uholanzi kwa kawaida huvaa range ya chungwa nyumbani na bluu ugenini waliyopanga kuvaa dhidi ya Hispania wakati timu hizo zitakapokutana katika mechi za Kundi B Juni 13. 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: FIFA YAWATAKA HISPANIA KUBADILISHA JEZI KWA SABABU WALIZOTOA SASA ZINAFANANA NA ZA UHOLANZI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top