Pagumu: Mshambuliaji wa Chelsea, Eden Hazard akichezewa faulo na beki wa Norwich kwenye eneo la hatari, lakini refa akasema aliotea kabla katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo. Timu hizo zilitoka 0-0. Chelsea inafikisha pointi 79 katika mechi 37, na kubaki nafasi ya tatu nyuma ya Manchester City pointi 80 sawa na Liverpool walio kileleni kwa wastani wa mabao, baada ya timu zote kucheza mechi 36.
UConn basketball star gets ill on the court after drinking PICKLE JUICE at
halftime
-
An overload of drinks led to one UConn men's basketball player vomiting all
over the court during a game against DePaul on Sunday evening.
35 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment