RATIBA ya Raundi ya Kwanza Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), michuano inayodhaminiwa na Benki ya CRDB imetoka na michuano hiyo inatarajiwa kuanza Desemba 18 hatua hiyo ya awali ikihusisha jumla ya timu 64 na mechi za ufunguzi zitakuwa kati ya vigogo Pan Africans ya Dar es Salaam na Bagamoyo Sugar Uwanja wa Mabatini, Mlandizi mkoani Pwani na Mapinduzi FC ya Mwanza dhidi ya Buhare FC ya Mara Uwanja wa Nyamagana, Mwanza.
Cat steals the spotlight during music exam with surprise stage entrance
-
A university music exam took an unexpected turn in eastern China when a
curious cat wandered onto the stage mid-performance. The moment unfolded on
January...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment