RATIBA ya Raundi ya Kwanza Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), michuano inayodhaminiwa na Benki ya CRDB imetoka na michuano hiyo inatarajiwa kuanza Desemba 18 hatua hiyo ya awali ikihusisha jumla ya timu 64 na mechi za ufunguzi zitakuwa kati ya vigogo Pan Africans ya Dar es Salaam na Bagamoyo Sugar Uwanja wa Mabatini, Mlandizi mkoani Pwani na Mapinduzi FC ya Mwanza dhidi ya Buhare FC ya Mara Uwanja wa Nyamagana, Mwanza.
Olympics shock as star makes stunning defection to Australia - and he could
challenge Gout Gout
-
New Zealand's fastest man Eddie Osei-Nketia has officially changed
allegiances in a move that could have major ramifications for Australian
sprinting ahead...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment