• HABARI MPYA

    Thursday, December 11, 2025

    YANGA PRINCESS YAIBOMOA SIMBA QUEENS NJE YA UWANJA


    KLABU ya Yanga Princess imemsajili kiungo mshambuliaji wa Kimataifa wa Burundi, Asha Djafari Djuma (27) kutoka mahasimu, Simba Queens.
    Yanga imechapisha picha ya mchezaji huyo kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii ikiambatanisha na ujumbe; “Asha Djafar ni Mwananchi,” yaani amejiunga nao.
    Nahodha huyo wa timu ya taifa ya wanawake ya Burundi, Asha alijiunga na Simba Queens msimu wa 2020/2021 na tangu hapo amekuwa tegemeo la safu ya ushambuliaji ya Malkia wa Msimbazi.
    Next
    This is the most recent post.
    Older Post
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YANGA PRINCESS YAIBOMOA SIMBA QUEENS NJE YA UWANJA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top