• HABARI MPYA

    Sunday, December 21, 2025

    ARSENAL YAICHAPA EVERTON 1-0 NA KUJITANUA KILELENI ENGLAND


    BAO pekee la mshambuliaji Msweden, Viktor Gyokeres dakika ya 27 lilitosha kuipa Arsenal FC ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Everton katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Hill Dickinson, Bramley-Moore Dock mjini Vauxhall, Liverpool katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Etihad Jijini Manchester.
    Kwa ushindi huo, Arsenal inafikisha pointi 39 na kuendelea kuongoza Ligi Kuu ya England ikiizidi pointi mbili Manchester City City baada ya wote kucheza mechi 17, wakati Everton inabaki na pointi zake 24 za mechi 17 pia nafasi ya 10. 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ARSENAL YAICHAPA EVERTON 1-0 NA KUJITANUA KILELENI ENGLAND Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top