• HABARI MPYA

    Wednesday, December 24, 2025

    MAHREZ AFUNGA MAWILI ALGERIA YAITANDIKA SUDAN 3-0


    TIMU ya Algeria imeanza vyema Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 baada ya ushindi wa mabao 3–0 dhidi ya Sudan katika mchezo wa Kundi E jioni ya leo Uwanja wa Moulay Hassan Jijini Rabat nchini Morocco.
    Mabao ya The Greens yamefungwa na winga wa Al-Ahli ya Saudi Arabia, Riyad Karim Mahrez mawili, dakika ya pili na 61 na mshambuliaji wa Bayer Leverkusen, Ibrahim Maza dakika ya 85.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAHREZ AFUNGA MAWILI ALGERIA YAITANDIKA SUDAN 3-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top