• HABARI MPYA

    Sunday, December 14, 2025

    BARCELONA YAICHAPA OSASUNA 2-0 MABAO YA NAHODHA RAPHINHA


    MSHAMBULIAJI Mbrazil, Raphinha jana alifunga mabao yote mawili FC Barcelona ikiibuka na ushindi wa 2-0 dhidi ya Osasuna katika mchezo wa La Liga Uwanja wa Spotify Camp Nou.
    Kwa ushindi huo, Bacelona inafikisha pointi 43 katika mchezo wa 17 na kuendelea kuongoza La Liga kwa pointi saba zaidi ya Real Madrid ambao wana mechi moja mkononi na leo wanacheza na Alavés Uwanja wa Mendizorroza.
    Next
    This is the most recent post.
    Older Post
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BARCELONA YAICHAPA OSASUNA 2-0 MABAO YA NAHODHA RAPHINHA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top