MABINGWA watetezi, Ivory Coast wameanza vyema Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 baada ya ushindi wa bao 1–0 dhidi ya Msumbiji katika mchezo wa Kundi F jioni ya leo Uwanja wa Marrakech Jijini Marrakech nchini Morocco.
Katika mchezo huo uliochezeshwa na refa Samuel Uwikunda wa Rwanda, bao pekee la The Elephants limefungwa na winga wa Manchester United, Amad Diallo dakika ya 49.



.png)
0 comments:
Post a Comment