• HABARI MPYA

    Wednesday, December 24, 2025

    MABINGWA WATETEZI IVORY COAST WAICHAPA MSUMBIJI 1-0


    MABINGWA watetezi, Ivory Coast wameanza vyema Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 baada ya ushindi wa bao 1–0 dhidi ya Msumbiji katika mchezo wa Kundi F jioni ya leo Uwanja wa Marrakech Jijini Marrakech nchini Morocco.
    Katika mchezo huo uliochezeshwa na refa Samuel Uwikunda wa Rwanda, bao pekee la The Elephants limefungwa na winga wa Manchester United, Amad Diallo dakika ya 49.
    Next
    This is the most recent post.
    Older Post
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MABINGWA WATETEZI IVORY COAST WAICHAPA MSUMBIJI 1-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top