• HABARI MPYA

    Friday, December 26, 2025

    ZAMBIA YACHEZA MECHI YA PILI BILA USHINDI AFCON, 0-0 NA COMORO


    TIMU ya taifa ya Zambia imetoa sare ya bila mabao, 0–0 na Comoro katika mchezo wa Kundi A Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 usiku huu Uwanja wa Mohammed V Jijini Casablanca nchini Morocco.
    Kwa matokeo hayo, Zambia wanafikisha pointi mbili kufuatia sare ya 1-1 na Mali katika mchezo wa kwanza, wakati Comoro imeokota pointi ya kwanza ikitoka kufungwa 2-0 na wenyeji, Morocco kwenye mchezo wa kwanza. 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ZAMBIA YACHEZA MECHI YA PILI BILA USHINDI AFCON, 0-0 NA COMORO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top