• HABARI MPYA

    Wednesday, December 10, 2025

    LIVERPOOL YAICHAPA INTER MILAN 1-0 LIGI YA MABINGWA ULAYA


    BAO pekee la kiungo wa Kimataiifa wa Hungary, Dominik Szoboszlai dakika ya 88 kwa mkwaju wa penalty jana liliipa Liverpool ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Inter Milan katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Giuseppe Meazza Jijini Milan nchini Italia.
    Kwa ushindi huo, Liverpool wanafikisha poingi 12 kusogea nafasi ya nane, sasa wakizidiwa tu wastani wa mabao na Inter Milan baada ya wote kucheza mechi sita.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LIVERPOOL YAICHAPA INTER MILAN 1-0 LIGI YA MABINGWA ULAYA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top