// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); NOOIJ AWATEMA WATANO STARS AKIWEMO JAVU - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE NOOIJ AWATEMA WATANO STARS AKIWEMO JAVU - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Monday, May 12, 2014

    NOOIJ AWATEMA WATANO STARS AKIWEMO JAVU

    Na Princess Asia, Dar es Salaam
    KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Mart Nooij  amewatema wachezaji watano na kubakia 27 kwa ajili ya mechi ya kwanza ya mchujo kuwania kuingia makundi ya kuwania tiketi ya Fainali za Mataifa ya Afrika mwaka 2015 dhidi ya Zimbabwe Jumapili.
    Hussein Javu kushoto ametemwa Stars

    Habari ambazo BIN ZUBEIRY imezipata kutoka kambi ya timu hiyo mjini Mbeya, zimesema kwamba waliotemwa ni Hussein Javu, Emmanuel Namwando, Omari Nyenje, Hassan Mwasapili na Michael Pius. 
    Taifa Stars inatarajiwa kuondoka Mbeya kesho kurejea Dar es Salaam tayari kwa mchezo dhidi ya Zimbabwe utakaochezwa uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: NOOIJ AWATEMA WATANO STARS AKIWEMO JAVU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top