TIMU ya KVZ imefanikiwa kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya PBZ Zanzibar baada ya ushindi wa mabao 4-2 dhidi ya Kipanga Ijumaa ya Juni 12 Uwanja wa Mao Tze Tung A, Zanzibar.
Kwa matokeo hayo, KVZ imemaliza na pointi 67, ikifuatiwa na JKU iliyomaliza na pointi 64 baada ya ushindi wa 3-1 kwenye mchezo wa mwisho Juni 12 pia Uwanja wa Gombani, Pemba.





.png)
0 comments:
Post a Comment