// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); BAYERN MUNICH WABEBA 'NDOO' YA PILI UJERUMANI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE BAYERN MUNICH WABEBA 'NDOO' YA PILI UJERUMANI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Sunday, May 18, 2014

    BAYERN MUNICH WABEBA 'NDOO' YA PILI UJERUMANI

    MABAO ya Arjen Robben na Thomas Mueller katika dakika za nyongeza baada ya dakika 90 za kawaida, yametosha kuipa Bayern Munich ushindi wa 2-0 dhidi ya Borussia Dortmund na kutwaa Kombe la Ujerumani usiku huu, hilo likiwa taji la pili kwa timu hiyo katika msimu wa kwanza wa kocha Pep Guardiola kazini.
    Robben alifunga dakika ya 107 baada ya kuunganisha krosi ya Jerome Boateng aliyemtoka Roman Weidenfellert kabla ya Mueller kumzunguka Weidenfeller kufunga la pili dakika za majeruhi.
    Robert Lewandowksi aliichezea Dortmund mechi yake ya mwisho kabla ya kuhamia Bayern Munich Julai 1, mwaka huu na usiku huu aliwekewa ulinzi mkali na Boateng na Dante.
    Kifaa; Arjen Robben akisherehekea baada ya kufunga bao la kwanzaClinical: Arjen Robben scores Bayern Munich's first goal against Borussia Dortmund
    Kitaalamu: Arjen Robben akiifungia Bayern Munich bao la kwanza dhidi ya Borussia Dortmund
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BAYERN MUNICH WABEBA 'NDOO' YA PILI UJERUMANI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top