// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); AL AHLY YAWACHAPA 2-0 NKANA FC KOMBE LA SHIRIKISHO - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE AL AHLY YAWACHAPA 2-0 NKANA FC KOMBE LA SHIRIKISHO - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Sunday, May 18, 2014

    AL AHLY YAWACHAPA 2-0 NKANA FC KOMBE LA SHIRIKISHO

    VIGOGO wa Misri, Al Ahly wameanza vyema hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kuilaza mabao 2-0 Nkana FC ya Zambia katika mchezo wa Kundi B uliopigwa Uwanja wa Petrosport mjini Cairo.

    Mabao ya kipindi cha pili ya Ahmed Gamal na Mohamed Gedo yalitosha kuwapandisha kileleni mwa kundi hilo mabingwa mara nane Afrika, kabla ya mechi ya pili ya kundi hilo Jumapili mjini Abidjan baina ya wenyeji Sewe Sport na Etoile du Sahel ya Tunisia.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AL AHLY YAWACHAPA 2-0 NKANA FC KOMBE LA SHIRIKISHO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top