// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); MCHEZAJI MAN CITY AVUA NGUO KUSHANGILIA BAO JANA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE MCHEZAJI MAN CITY AVUA NGUO KUSHANGILIA BAO JANA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Thursday, May 08, 2014

    MCHEZAJI MAN CITY AVUA NGUO KUSHANGILIA BAO JANA

    NYOTA wa Manchester City, Stevan Jovetic amehakikisha wadhamini wake wanaonekana vizuri baada ya kuvua nguo zone na kubaki na chupi, timu take ikishinda 4-0 dhidi ya Aston Villa jana.
    Mwanasoka huyo wa kimataifa wa Montenegro aliifungia timu take boa la tatu jana Uwanja wa Etihad na katika kushangilia akasaala na kubaki na chupi akikimbia kuelekea walipo mashabiki.
    Hilo lilikuwa boa la saba la mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 24 msimu huu - na la kwanza kwa zaidi ya mwezi, ingawa refa Michael Oliver alimlima kadi ya njano.
    Huu sasa wehu: Jovetic akikimbia kushangilia bao lake na kichupi
    Shirt off: Stevan Jovetic scores to make it 3-0 against Aston Villa in their penultimate Premier League game

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MCHEZAJI MAN CITY AVUA NGUO KUSHANGILIA BAO JANA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top