// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); HISPANIA YATAJA KIKOSI CHA AWALI KOMBE LA DUNIA, TORRES NA WENGINE SABA ENGLAND WAITWA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE HISPANIA YATAJA KIKOSI CHA AWALI KOMBE LA DUNIA, TORRES NA WENGINE SABA ENGLAND WAITWA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Tuesday, May 13, 2014

    HISPANIA YATAJA KIKOSI CHA AWALI KOMBE LA DUNIA, TORRES NA WENGINE SABA ENGLAND WAITWA

    MSHAMBULIAJI wa Chelsea, Fernando Torres ni miongoni mwa wachezaji wanane wa Ligi Kuu ya England walioteuliwa kwenye kikosi cha Hispania cha awali cha wachezaji 30 kwa ajili ya Fainali za Kombe la Dunia.
    Hata hivyo, mshambuliaji wa Spurs Roberto Soldado, ambaye amefunga boa moja tu Ligi Kuu England msimu huh ametemwa.
    Kikosi cha wachezaji 30 wa awali wa Hispania

    Kopcha wa Hispania, Vicente Del Bosque amemjumuisha kipa wa Manchester United, David De Gea na kiungo wa timu hiyo, Juan Mata, sambamba na Cesar Azpilicueta wa Chelsea, Santi Cazorla wa Arsenal na nyota watatu wa Manchester City, David Silva, Jesus Navas na Alvaro Negredo.
    Kikosi kamili cha Hispania ni makipa; Casillas, Reina na De Gea, mabeki; Ramos, Pique, Albiol, Martinez, Juanfran, Alba, Azpilicueta, Carvajal na Moreno.
    Viungo ni; Xavi, Xabi Alonso, Iniesta, Koke, Busquets, Cazorla, Iturraspe, Fabregas, Thiago, Mata na Silva wakati
    washambuliaji ni; Pedro, Navas, Diego Costa, Villa, Torres, Negredo na Llorente.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: HISPANIA YATAJA KIKOSI CHA AWALI KOMBE LA DUNIA, TORRES NA WENGINE SABA ENGLAND WAITWA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top