Kipa wa Yanga Veterans, Manyika Peter akichupa bila mafanikio kuokoa shuti la mpira wa adhabu uliopigwa na kiungo wa Simba Veterans, Shekhan Rashid (hayupo pichani) katika mechi ya jana baina ya wakongwe hao, iliyofanyika kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Simba ilishinda 1-0. Mechi hiyo ilikuwa ya kuchangia waathirika wa milipuko ya mabomu Gongolamboto
West Ham 2-2 Brentford (pens 5-3): Hammers earn FA Cup quarter-final spot
after nerve-wracking clash - after Dango Ouattara hits EMBARRASSING
spot-kick
-
LUKE POWER AT THE LONDON STADIUM: West Ham booked their place in the
quarter-finals of the FA Cup for the first time in a decade - and had a
woeful Panenka...
44 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment