AMA kwa hakika Juni 6 mwaka huu patakuwa hapatoshi pale Afri Centre Ilala, kwani siku hiyo vimwana 12 watapanda kwenye stage kuwania taji la Miss Dar es Salaam (Mzizima) wakisindikizwa na burudani ya bendi ya Diamond Musica Intenational na wasanii wa Bongo Fleva Buibui Pipi na Barabas.
0 comments:
Post a Comment