// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); MESSI AMPIKU RONALDO KWA KULIPWA ZAIDI DUNIANI BAADA YA KUKUBALI MKATABA MPYA MNONO BARCA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE MESSI AMPIKU RONALDO KWA KULIPWA ZAIDI DUNIANI BAADA YA KUKUBALI MKATABA MPYA MNONO BARCA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Friday, May 16, 2014

    MESSI AMPIKU RONALDO KWA KULIPWA ZAIDI DUNIANI BAADA YA KUKUBALI MKATABA MPYA MNONO BARCA

    MSHAMBULIAJI Lionel Messi amekubali Mkataba mpya wa kubaki Barcelona.
    Nyota huyo wa Argentina mwenye umri wa miaka 26 maisha yake tote amechezea klabu hiyo ya Katalunya na atampiku Cristiano Ronaldo kwa kuwa mchezaji anayelipwa zaidi duniani katika mkataba wake mpya.
    Taarifa ya klabu imesema: "FC Barcelona imefikia makubaliano ya kurekebisha vipengele via mkataba mpya na Leo Messi katika klabu,".
    Anabaki: Lionel Messi amekubali kusaini mkataba mpya Barcelona
    Not quite down on his luck: Cristiano Ronaldo is no longer the world's best-paid player
    Amepigwa bao: Cristiano Ronaldo sasa si mchezaji anayeongoza kwa kulipwa duniani

    "Mkataba mpya unatarajiwa kusianiwa ndani ya siku chache zijazo,".
    Habari hizo zinangeza moral ya Barcelona wakati wanajiandaa kwa mchezowa kesho usiku wa La Liga wa kuamua bingwa baina yao na  Atletico Madrid.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MESSI AMPIKU RONALDO KWA KULIPWA ZAIDI DUNIANI BAADA YA KUKUBALI MKATABA MPYA MNONO BARCA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top