Beki tegemeo wa Ureno, Kepler Laveran Lima Ferreira maarufu kama Pepe akinyoosha mguu wakati wa mazoezi ya timu yake leo mjini Marcoussis, jirani na Paris kujiandaa fainali ya Euro 2016 kesho dhidi ya wenyeji, Ufaransa Uwanja wa Stade de France. Pepe anatarajiwa kurejea uwanjani kesho baada ya kukosekana katika Nusu Fainali dhidi ya Wales Ureno ikishinda 2-0 kutokana na kuwa majeruhi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea vs Manchester City - Premier League LIVE: Latest score and updates
as Blues have a goal disallowed early on
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for the latest score, team news and
updates as Chelsea host Manchester City at Stamford Bridge in the Premier
League.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment