Beki tegemeo wa Ureno, Kepler Laveran Lima Ferreira maarufu kama Pepe akinyoosha mguu wakati wa mazoezi ya timu yake leo mjini Marcoussis, jirani na Paris kujiandaa fainali ya Euro 2016 kesho dhidi ya wenyeji, Ufaransa Uwanja wa Stade de France. Pepe anatarajiwa kurejea uwanjani kesho baada ya kukosekana katika Nusu Fainali dhidi ya Wales Ureno ikishinda 2-0 kutokana na kuwa majeruhi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
England deny Nepal in final-ball thriller at World Cup
-
England fight from the brink to avoid a major shock and beat an inspired
Nepal by four runs in their opening match of the T20 World Cup in Mumbai.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment