Beki tegemeo wa Ureno, Kepler Laveran Lima Ferreira maarufu kama Pepe akinyoosha mguu wakati wa mazoezi ya timu yake leo mjini Marcoussis, jirani na Paris kujiandaa fainali ya Euro 2016 kesho dhidi ya wenyeji, Ufaransa Uwanja wa Stade de France. Pepe anatarajiwa kurejea uwanjani kesho baada ya kukosekana katika Nusu Fainali dhidi ya Wales Ureno ikishinda 2-0 kutokana na kuwa majeruhi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: Ferrari are DITCHING their iconic red colour - with a surprising
switch coming to Formula One in Miami next month
-
Ferrari will ditch their traditional red livery for 'fresh and unexpected
colours' at the Miami GP next month to celebrate the 70th anniversary of
their pr...
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment