• HABARI MPYA

    Friday, July 29, 2016

    CHELSEA YAIKANDAMIZA 1-0 LIVERPOOL KOMBE LA KIMATAIFA MAREKANI

    Mshambuliaji wa Chelsea, Victor Moses akitafuta maarifa ya kupasua katikati ya wachezaji wa Liverpool katika mchezo wa Kombe la Mabingwa wa Kimataifa mjini Pasadena, California, Marekani. Chelsea ilishinda 1-0, bao pekee la Gary Cahill aliyemalizia kona ya Cesc Fabregas, ambaye baadaye alitolewa kwa kwa kadi nyekundu kwa kumchezea rafu Ragnar Klavan kipindi cha pili. Na Roberto Firmino aliifungia bao Liverpool, ambalo lilikataliwa kwa sababu alikuwa ameotea PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: CHELSEA YAIKANDAMIZA 1-0 LIVERPOOL KOMBE LA KIMATAIFA MAREKANI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top