Mshambuliaji wa Chelsea, Victor Moses akitafuta maarifa ya kupasua katikati ya wachezaji wa Liverpool katika mchezo wa Kombe la Mabingwa wa Kimataifa mjini Pasadena, California, Marekani. Chelsea ilishinda 1-0, bao pekee la Gary Cahill aliyemalizia kona ya Cesc Fabregas, ambaye baadaye alitolewa kwa kwa kadi nyekundu kwa kumchezea rafu Ragnar Klavan kipindi cha pili. Na Roberto Firmino aliifungia bao Liverpool, ambalo lilikataliwa kwa sababu alikuwa ameotea PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Iran's famed singer Googoosh recalls family, exile and life in the spotlight
-
DUBAI, United Arab Emirates (AP) — For Googoosh, Iran's most-famous singer,
life always has been balancing act of one kind or another.
29 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment