Mshambuliaji wa PSG, Edinson Cavani akimtoka kiungo wa Real Madrid, Mateo Kovacic katika mchezo wa kirafiki mjini Ohio, Marekani. PSG ilishinda 3-1, mabao yake yakifungwa na Thomas Meunier mawili baada ya kuingia akitikea benchi na lingine, kinda Jonathan Ikone wakati la Real lilifungwa ma Marcelo kwa penalti kipindi cha kwanza PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NBA Fans Troll Warriors for Fall Behind Lakers in Playoff Standings with
Knicks Loss
-
NBA fans on X had fun at the Golden State Warriors' expense Monday night,
as a 119-112 home loss to the New York Knicks dropped them back down to the
No. 10…
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment