Mshambuliaji wa PSG, Edinson Cavani akimtoka kiungo wa Real Madrid, Mateo Kovacic katika mchezo wa kirafiki mjini Ohio, Marekani. PSG ilishinda 3-1, mabao yake yakifungwa na Thomas Meunier mawili baada ya kuingia akitikea benchi na lingine, kinda Jonathan Ikone wakati la Real lilifungwa ma Marcelo kwa penalti kipindi cha kwanza PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ryan Wedding, former Olympic snowboarder accused of running a drug empire,
is arrested
-
The Canadian was added to the FBI's Top 10 Most Wanted Fugitives list in
2025.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment