Nahodha wa Bin Slum Veterans, Nassor Bin Slum (katikati) akiwatoka wachezaji wa TFF katika mchezo wa Kombe la Fresco Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam jioni ya Jumapili. Timu hizo zilifungana 3-3, mabao ya Bin Slum yakifungwa na Clement Kahbuka, Mohammed Banka na Nassor Bin Slum, wakati ya TFF yalifungwa na John Mashaka, Martin Ipiana na Pino Ipiana
Soccer Aid 2024: Alex Scott returns as host while Bobby Brazier and Tommy
Fury lead the stars lacing up their boots and taking to the pitch for
annual charity match
-
Soccer Aid for UNICEF 2024 has announced it's celebrity players ahead of
the annual charity match on Sunday 9th June at Stamford Bridge.
39 minutes ago
0 comments:
Post a Comment