Winga wa Medeama FC ya Ghana, Enock Atta Agyei akisaini Mkataba wa miaka miwili kujiunga na Azam FC juzi mjini Sekondi-Takoradi, Ghana baada ya mchezo wa Kundi A Kombe la Shirikisho dhidi ya Yanga ya Tanzania akiiwezesha timu yake kushinda 3-1. Wanaomshuhudia ni Mtendaji Mkuu wa Azam, Saad Kawemba (kushoto) na kiongozi wa Medeama (kulii)
Australia withdraw from Afghanistan T20 series
-
Australia withdraw from their men's T20 series against Afghanistan in
August because of continued restrictions on women and girls under the
ruling Taliban ...
52 minutes ago
0 comments:
Post a Comment