Winga wa Medeama FC ya Ghana, Enock Atta Agyei akisaini Mkataba wa miaka miwili kujiunga na Azam FC juzi mjini Sekondi-Takoradi, Ghana baada ya mchezo wa Kundi A Kombe la Shirikisho dhidi ya Yanga ya Tanzania akiiwezesha timu yake kushinda 3-1. Wanaomshuhudia ni Mtendaji Mkuu wa Azam, Saad Kawemba (kushoto) na kiongozi wa Medeama (kulii)
Olympics shock as star makes stunning defection to Australia - and he could
challenge Gout Gout
-
New Zealand's fastest man Eddie Osei-Nketia has officially changed
allegiances in a move that could have major ramifications for Australian
sprinting ahead...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment