Winga wa Medeama FC ya Ghana, Enock Atta Agyei akisaini Mkataba wa miaka miwili kujiunga na Azam FC juzi mjini Sekondi-Takoradi, Ghana baada ya mchezo wa Kundi A Kombe la Shirikisho dhidi ya Yanga ya Tanzania akiiwezesha timu yake kushinda 3-1. Wanaomshuhudia ni Mtendaji Mkuu wa Azam, Saad Kawemba (kushoto) na kiongozi wa Medeama (kulii)
England's Jack Willis could miss a year after surgery on the knee injury he suffered against Italy
-
Willis was twisted out of a ruck in England's 41-18 win at Twickenham and
needed nearly 10 minutes of medical attention before being taken off. He
has now ...
50 minutes ago
0 comments:
Post a Comment