• HABARI MPYA

    Saturday, July 30, 2016

    WINGA TELEZA LA MEDEAMA 'LILIVYOANGUKA' MIAKA MIWILI CHAMAZI

    Winga wa Medeama FC ya Ghana, Enock Atta Agyei akisaini Mkataba wa miaka miwili kujiunga na Azam FC juzi mjini Sekondi-Takoradi, Ghana baada ya mchezo wa Kundi A Kombe la Shirikisho dhidi ya Yanga ya Tanzania akiiwezesha timu yake kushinda 3-1. Wanaomshuhudia ni Mtendaji Mkuu wa Azam, Saad Kawemba (kushoto) na kiongozi wa Medeama (kulii) 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: WINGA TELEZA LA MEDEAMA 'LILIVYOANGUKA' MIAKA MIWILI CHAMAZI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top